IDARA YA KISWAHILI
Ninachukuafursa
hiil kumshukuru mungu kwa umbali ambao ametufikisha. Kwa miaka mitatno
mtawaliwa ametuwezesha kuimarisha matokeo ya somo hili la Kiswahili hadi mwaka
huu ambapo alitupa wasani ya 9.4. ni matarjia yetu kwamba mwaka ujao kulingana
na bidii na mikakati tuliyoweka, mola atatubariki tena kwa sababu ndiye
tunayemtegemea.
Kama
mkuu wa idara, ninawashukuru wanaidara
wote ikiwemo bw. Benson Ochieng, Bw Nyamwanda Jacktone, B w Felix Olum, Bw
.Wycliffe Olang, Bi Elizabeth Kageha, Bi. Veronica odhiambo, Bw .Ngugi
Peterson, Bw Job odhiambo, Bw.Samuel ogingo, Bw. Glance Omollo na Bw. Peter
Gichuru kwa kazi kuntu. Mmtia bidii ya mchwa kuhakikisha kufaulu kwa idara hii ya Kiswahili bila kuchoka ili
kuhakikisha kwamba somo hili linapaa angani kila matokeo ya mitihani
inapotangazwa. Maulena awajalie sana kwa kazi zote za mikono yenu. Asanteni sana.
Bwana Opana Moses
MKUU
WA IDARA YA KISWAHILI
For more information contact
+254729938948